Exodus 21:32

32 aIkiwa fahali atampiga mtumwa wa kike au wa kiume, mwenye fahali atalipa shekeli thelathini
Shekeli 30 ni sawa na gramu 300.
za fedha kwa bwana mwenye mtumwa, na fahali ni lazima auawe kwa mawe.

Copyright information for SwhNEN